SIMULIZI FUPI YA SAUTI: YAMENIKUTA SALMA MIE BY Anko J.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2025

Комментарии • 155

  • @SheilaApondi-dn5lh
    @SheilaApondi-dn5lh 2 месяца назад +2

    Pole sana Ibrahim

  • @ManisaboSifa
    @ManisaboSifa Месяц назад +2

    😊😊😊😊😊🎉

  • @ManisaboSifa
    @ManisaboSifa Месяц назад +3

    Tamaha mbaya kwe li marafiki wa baya kwe li wa na kushauriya vibaya😂😂😂😂

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 2 года назад +4

    Nimejifunza saaana jamani kweli tamaa mbaya

  • @yusrayusuph7835
    @yusrayusuph7835 2 года назад +3

    dah iistoli imeniuma sana mungu atakulipia iblahim

  • @minahmtaki7119
    @minahmtaki7119 2 года назад +2

    Anko j unasehem yako binguni wallah..!

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 2 года назад +3

    Simulizi nzuri Sana tamaai mbaya tujifunze kuridhika

  • @justusjuma
    @justusjuma Год назад +1

    Pole sana dada yangu nimejifunza mengi kutoka na nakisachako pole sana

  • @Beathasimon
    @Beathasimon Год назад +4

    Tamaa mbele umauti myuma plz nawasihi wanawake tuache tamaa

  • @madreedsulaiman401
    @madreedsulaiman401 2 года назад +4

    Tamaa mbaya rizika kila huko najo

  • @annasituma8810
    @annasituma8810 2 года назад +2

    Tamaa mbaya kweli unawesa kukosa yote

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 2 года назад +2

    Pole sana mume wangu Ibrahim

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 2 года назад +2

    Asante Anko Jay nimejifuza kweli dunia hii nimatatizo

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 2 года назад +4

    Tamaa mbaya siku zote wanawake turidhike na vile tulivonavo

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Год назад +2

    Tamaa mbaya sana turizike na tunachokipewa maana ukiendekeza tamaa mwisho wa siku msiba... Asante ankoJay Kwa story yenye mafunzo

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 года назад +22

    Jamani tamaa mbaya sana nimejifunza kitu usitamani ya mwenzio ridhika na hali yako ya maisha halafu tuwasikilize waume zetu na pia hakuna mapenzi ya dawa faida zake na hasara zake kuwahalibu mpango wa maisha na ndoa pia like zenu hapa kama wewe wanamke umejifunza nini hapa 🥺🥺🥺

    • @samsungoman5626
      @samsungoman5626 2 года назад +1

      Kabisa tamaa mbaya turizike nahalizetu

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +3

    Hujafa hujaumbika malipo ni duniani

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 2 года назад +2

    Much ❤️🥰 kwa anko jay😂😂🙌🙌🙌

  • @carolinamria8977
    @carolinamria8977 2 года назад +1

    Ila Anko j unawez kutudaka Sanaa kwenye simuliz maish marefuu Sanaa kwako🥳🥳

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 14 дней назад

    Asante sana my brother from another mother

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 2 года назад +1

    Asante sana Anko jay nimejifunza mingi sana kuwa mashoti sio wazuri so thanks very much always 💕💕💕😘 you Anko jay

  • @rehimasaleh6648
    @rehimasaleh6648 2 года назад +5

    Salima mwisho wa ubaya ni aibu 2 yni hukumbu fadhira zake na kumbk malipo ni hpahap duniani

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 2 года назад +1

    Pole Sana Dada shatani halali yuko kazini kila wakati

  • @rahelbaduu4875
    @rahelbaduu4875 2 года назад +3

    Much love kwa msimulizi wetu Anko jay bandika bandua ❤️❤️❤️

  • @AnnasKings
    @AnnasKings 7 месяцев назад +1

    Kwahakika nimeyipenda iyi simulizi

  • @aminajuma
    @aminajuma 2 года назад +5

    4:05:05 Anko Jay you are always my favorite. Hujawahi kuniangusha
    Be blessed ❤

  • @jumakavula.896
    @jumakavula.896 2 года назад +2

    Tamaa mbaya sana jamn.

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +2

    Tamaa mbsya

  • @khadijaaliy7287
    @khadijaaliy7287 2 года назад +4

    Salma mwisho waubaya aibu

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 года назад +2

    Tamaa mbaya

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +1

    Upo juu anko jay simulizi nzuri sana

  • @abdulmohamed8852
    @abdulmohamed8852 2 года назад +1

    Kwa kweli hii simulizi ni nzuri Sana,iko na mafunzo na kuelimisha jamii.wanandoa waache tamaa

  • @Adonai810
    @Adonai810 2 года назад +1

    KARMA 🔥🔥WONDERFUL STORY ANKO JAY

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 5 дней назад

    Daaaah na yamekukuta kweli

  • @fainesimathiasi179
    @fainesimathiasi179 2 года назад +1

    Tamaaa mbele mauti nyumaa😫😫😫😫

  • @tabbygud2333
    @tabbygud2333 2 года назад +3

    Asante Kwa Simulizi Tamu... Much ❤️ Kwa msimulizi wetu ANKO JAY

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 года назад +1

    Sikuzote kwahaya maisha ishi maishayako usiwai tamani maisha ya mwengine
    Amakweli tamaambele mauti nyuma
    Asante kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo nimejifunza sanaaaa

  • @esthermugoli4527
    @esthermugoli4527 2 года назад +5

    That’s why I don’t like friends no no

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 2 года назад +1

    Daaah simuliz nzuri xaan na pia ina mafunzo pia nimekuelewa xaan anko J❤️🔥🔥🙌

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 года назад +6

    Simulizi za Anko huwa zna mafunzo na znasimumua vbaya mno😍😍

  • @LizaLiza-v2m
    @LizaLiza-v2m Год назад +1

    Jaman nalia mwenzenu 😢😢😢 umtie kilema kisha umnyanyase

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 года назад +2

    Habari za mashoga hizo pole sana Salma

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 2 года назад +2

    Tamaa mbaya kweli

  • @zenajafari7402
    @zenajafari7402 2 года назад +1

    Naam Anko Jay kukupenda

  • @rehemacharles4290
    @rehemacharles4290 2 года назад +1

    Nimejifunza mengi

  • @WakatiMleci-v8y
    @WakatiMleci-v8y 24 дня назад

    Asante sana anko kwa simulizi zuri

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 2 года назад +1

    Anko j mwenyew🔥🔥

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +2

    Chumbageni shule ya msingi usagara secondary umenikumbusha mbali anko jay aisee I love tanga

  • @amiramir0013
    @amiramir0013 2 года назад +2

    Leo nimewahi siti pamoj san anko jay

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +2

    Ahsante anko jay

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 2 года назад +3

    Asante Sana Anko Jay Kwa sauti Tamu kutoka simulizi mix ♥️♥️♥️

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад +1

    Tabia ya kitaman maisha ya mtu mwingine sio sawa ridhika na maisha mlio nao

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua 2 года назад

    Daaaa tama hio

  • @asyagandi588
    @asyagandi588 2 года назад +1

    Hongereni pia

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 года назад +3

    Nljua tu lazma ujsifie anko🤣🤣🤣🤣

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад

    Daaah,maskin Ibrahim alioa mwanamke mwenye tamaa asiyekuwa na utu wala kumbkumb ya wema

  • @queenlee2701
    @queenlee2701 2 года назад +1

    Jaman macho ya Ibrah, itakuaje sasa, we nae Salma.

  • @PendoFrances
    @PendoFrances Год назад

    ❤❤❤

  • @maryragutu275
    @maryragutu275 2 года назад +1

    Asie funzwa na mama ufunzwa na ulimwengu...

  • @GraceShansila-f1f
    @GraceShansila-f1f Год назад

    Tamaa mbaya sana 😭

  • @chalanassra2799
    @chalanassra2799 2 года назад

    Ahsante sana anko Jay kwa hakika tumejifunza mengi tu be blessed 🙌

  • @linahmeena
    @linahmeena 2 года назад +2

    Nimejikuta natokwa na machoz duh dunia hii😭😭😭😭

  • @AishaAisha-yz3ns
    @AishaAisha-yz3ns 2 года назад +1

    Anko jei Bana hahaha

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 года назад +3

    Mkataa pema pabaya panamuita 😃😃😃yan nataman kucomment kila nkcklza hii simulizi

  • @Julietha-pd4
    @Julietha-pd4 10 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Rukia-pv7by
    @Rukia-pv7by Год назад +1

    Ww anko jay kwa kujisifia ujambo

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 2 года назад +1

    Nimepata funzo katika hi simulizi asante msimuliaji na muandishi

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 2 года назад +1

    Leo nimechelewaaa ngoja niskilize

  • @rayaburhan1849
    @rayaburhan1849 2 года назад +13

    Wa mwanzo mie like 100 apo

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 2 года назад +1

    Duh🤔 jmn wanawake tutafika mbinguni tumechoka mno..wacha nimalizie story nitarudi tena kucomment..Anko jay big up 👌🌹🌹

  • @estabidetwa1174
    @estabidetwa1174 2 года назад +1

    Hadi natowa machozi kweli tamaa yako imekuponza

  • @queenlee2701
    @queenlee2701 2 года назад

    Ndio kwanza naanza ila story ina nibamba ivi wacha niendelee ntarudi 💚❤💛Asante Anko Jay like nyingi kwako.

  • @regnbertymgina7164
    @regnbertymgina7164 2 года назад

    Safi sana chamoto ulikipata tokana na tamaa zako simulizi hii kwakweli inamagunzo halisi,akina dada/mama kazi ni kwenu

  • @milhamariam7105
    @milhamariam7105 2 года назад

    Anko JY shukra mamboyako mazuri sana wenye kuerika muwerimike nyìye nyie hakuna mapenzi yadawa ukiona mumewe anacepuka zidisha jihudi kusari sana na usimupe nafasi yakukusahau uyu SArima asipate muganga kama urewa tembere ra uwani munamukumbuka kibokoyawo😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +1

    Alivuna alichopanda

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +4

    Salma hana imani hakumbuki wema salma utalipwa mume ana radhi zake

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we 2 года назад +2

    Wewee😘unajuwa kutokosha ANKO JAY bandika bandua 🌹like na comment zote juu yako

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 10 месяцев назад

    Ni kweli binadamu haishi kuumbwa ,na kabla hujafa hujaumbika

  • @yusrayusuph7835
    @yusrayusuph7835 2 года назад +3

    napendag sana hadithi zako huna shoo mbovu

  • @Marykemunto-wy4qm
    @Marykemunto-wy4qm 4 месяца назад

    Nimejifunza kukaa mbali na tamaa

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi 2 года назад +2

    Salma umekosea kumwambia jirani siri zako za ndani

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 2 года назад

    Salma tunashukuru kwa simulizi nzuri saaaana mashallah🥰

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +1

    Ank9 jay

  • @KwizeraSalma-k5o
    @KwizeraSalma-k5o Год назад +1

    Uyu salma sio wa jina wangu mana wakina salma hatuko hivyo

  • @elizabethmburu2210
    @elizabethmburu2210 2 года назад +2

    Marafiki wengine sio marafiki Ila ni zaidi ya waongo na wakuwapotosha katika mashauri nakuwapoteza na kuwazika ,tena usimkimbie mwenzio akiwa kwenye matatizo maana hakuna aijuae kesho yake

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 года назад +1

    He majanga hawa waganga mtihani

    • @ziadamtebwa3712
      @ziadamtebwa3712 2 года назад

      Ayo uliyastahili kabisaa na mungu anakuona

  • @shamsiarashid4015
    @shamsiarashid4015 2 года назад

    Nimejifuza mengi

  • @annociatenyandwi6251
    @annociatenyandwi6251 2 года назад

    Mambo mazuri ya anza mwaka mpya anko jay Mungu akulinde

  • @sophiapinda9955
    @sophiapinda9955 2 года назад

    Daaaa tamaa baya jamani fuzo Hilo na pia Salima nakula pole sana utafanyeje ? Ndio maisha ulio changua

  • @fatematrtr4995
    @fatematrtr4995 2 года назад +3

    Uyu mganga au dalali wa wake za watu mjin😂😂😂😂

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +2

    Umenitamanisha kwetu tanga

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh 2 года назад

    Asante sana simulizi mix 👌

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 2 года назад +1

    Shukrani sana

  • @elizabethsaimony
    @elizabethsaimony Год назад

    Mimi wa kwanza leo😅❤

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 года назад +1

    Limbwata lkzd mwsho wa siku unakua chiz😂😂😂

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 года назад +11

    Anko jay mwenyewe haya YAMEMKUTA yapi? nasikiliza halafu nitakoment tena like zenu kwa simulizi mix🥰🥰🥰🥰🥰

    • @vanessajoshua8120
      @vanessajoshua8120 Год назад +1

      Simulizi nzuri sana na ina fundisha

    • @ManisaboSifa
      @ManisaboSifa Месяц назад +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jacklinebundi8213
    @jacklinebundi8213 2 года назад

    Simulizi yenye mafunzo 💖💖

  • @AfrahAfrah-o4o
    @AfrahAfrah-o4o 7 месяцев назад

    Loo kweri Tamaa mbele mautinyuma

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 2 года назад

    ❤hatujui ilatwasikiza😍🇰🇪

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI Год назад

    Pole